WAZIRI AWESO AFANYA UTEUZI MKURUGENZI DUWASA-JIJINI DODOMA

Na Barnabas Kisengi, Dodoma  Waziri wa Maji Mhe. Jumaa Awaso kwa mamlaka aliyonayo kwa kifungu namba 17 (1) cha sheria namba 5 ya usimamizi wa maji na idadi wa mazingira ya mwaka 2019 amemteuwa Mhandisi ARON JOSEPH kuwa Mkurugenzi Mtendaji WA Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Mjini Dodoma (Duwasa) kuanzia sasa.  Uteuzi